Danieli 10:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha nikasikia sauti yake akizungumza; lakini nilipomsikia akizungumza, nikalala kifudifudi ardhini na kushikwa na usingizi mzito.+ 10 Lakini mkono ukanigusa,+ ukanitikisa ili niinuke kwa mikono na magoti yangu.
9 Kisha nikasikia sauti yake akizungumza; lakini nilipomsikia akizungumza, nikalala kifudifudi ardhini na kushikwa na usingizi mzito.+ 10 Lakini mkono ukanigusa,+ ukanitikisa ili niinuke kwa mikono na magoti yangu.