Isaya 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana watu hawajarudi kwa Yule anayewapiga;Hawajamtafuta Yehova wa majeshi.+ Yeremia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, je, macho yako hayatafuti uaminifu?+ Uliwapiga, lakini hawakusikia.* Uliwaangamiza, lakini walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba,+Nao wakakataa kugeuka.+
3 Ee Yehova, je, macho yako hayatafuti uaminifu?+ Uliwapiga, lakini hawakusikia.* Uliwaangamiza, lakini walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba,+Nao wakakataa kugeuka.+