Yeremia 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ‘Niite, nami nitakujibu na kukuambia kwa utayari mambo makubwa na yasiyoeleweka ambayo hujayajua.’”+ 1 Wakorintho 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Mungu ameyafunua kwetu+ kupitia roho yake,+ kwa maana roho huchunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito* ya Mungu.+
3 ‘Niite, nami nitakujibu na kukuambia kwa utayari mambo makubwa na yasiyoeleweka ambayo hujayajua.’”+
10 Kwa maana Mungu ameyafunua kwetu+ kupitia roho yake,+ kwa maana roho huchunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito* ya Mungu.+