-
2 Timotheo 1:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Yeye alituokoa na kutuita kwa mwito mtakatifu,+ si kwa sababu ya matendo yetu, bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fadhili zisizostahiliwa.+ Tulipewa fadhili hizo kuhusiana na Kristo Yesu kabla ya nyakati za kale, 10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,+ ambaye amefuta kifo+ na kuangaza nuru juu ya uzima+ na kutoweza kuharibika+ kupitia habari njema,+
-