Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yesu akamwambia: “Mwenye furaha ni wewe, Simoni mwana wa Yona, kwa sababu mwili na damu havikukufunulia* hilo, bali Baba yangu aliye mbinguni ndiye aliyekufunulia.+

  • Marko 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Akawaambia: “Ninyi mmepewa siri takatifu+ ya Ufalme wa Mungu, lakini kwa wale walio nje mambo yote yako katika mifano,+

  • Waefeso 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Katika vizazi vingine wanadamu hawakujulishwa siri hii kama vile ambavyo sasa imefunuliwa kwa mitume wake watakatifu na manabii kupitia roho,+

  • 2 Timotheo 1:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yeye alituokoa na kutuita kwa mwito mtakatifu,+ si kwa sababu ya matendo yetu, bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fadhili zisizostahiliwa.+ Tulipewa fadhili hizo kuhusiana na Kristo Yesu kabla ya nyakati za kale, 10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,+ ambaye amefuta kifo+ na kuangaza nuru juu ya uzima+ na kutoweza kuharibika+ kupitia habari njema,+

  • 1 Petro 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Walifunuliwa kwamba hawakuwa wakijihudumia wenyewe, bali walikuwa wakiwahudumia ninyi, kwa mambo ambayo sasa mmetangaziwa na wale ambao waliwatangazia habari njema kwa roho takatifu iliyotumwa kutoka mbinguni.+ Malaika wanatamani kuchungulia ndani ya mambo hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki