-
2 Timotheo 1:9Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
9 Yeye alituokoa na kutuita kwa wito mtakatifu, si kwa sababu ya kazi zetu, bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fadhili isiyostahiliwa. Tulipewa hiyo kuhusiana na Kristo Yesu kabla ya nyakati zinazodumu muda mrefu,
-