9 Yeye alituokoa na kutuita kwa mwito mtakatifu,+ si kwa sababu ya matendo yetu, bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fadhili zisizostahiliwa.+ Tulipewa fadhili hizo kuhusiana na Kristo Yesu kabla ya nyakati za kale,
9 Yeye alituokoa+ na kutuita kwa mwito mtakatifu,+ si kwa sababu ya matendo+ yetu, bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fadhili zisizostahiliwa. Tulipewa hizo kuhusiana na Kristo Yesu kabla ya nyakati za zamani za kale,+