Yohana 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa kweli ninawaambia, yeyote ambaye husikia neno langu na kumwamini Yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye hahukumiwi bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia kwenye uzima.+ 1 Yohana 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa, nasi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwajulisha kuhusu uzima wa milele+ ambao Baba alikuwa nao, na uliofunuliwa kwetu),
24 Kwa kweli ninawaambia, yeyote ambaye husikia neno langu na kumwamini Yule aliyenituma ana uzima wa milele,+ naye hahukumiwi bali amevuka kutoka katika kifo na kuingia kwenye uzima.+
2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa, nasi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwajulisha kuhusu uzima wa milele+ ambao Baba alikuwa nao, na uliofunuliwa kwetu),