Yohana 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Huyo ndiye mwanafunzi+ anayetoa ushahidi huu kuhusu mambo haya, na ambaye aliyaandika mambo haya, nasi tunajua kwamba ushahidi wake ni wa kweli. Matendo 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mungu alimfufua, Yesu huyu, na sisi sote ni mashahidi wa jambo hilo.+
24 Huyo ndiye mwanafunzi+ anayetoa ushahidi huu kuhusu mambo haya, na ambaye aliyaandika mambo haya, nasi tunajua kwamba ushahidi wake ni wa kweli.