Marko 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Hata hivyo, mtakapoona kile kitu chenye kuchukiza sana kinachosababisha ukiwa+ kikiwa kimesimama mahali ambapo hakipaswi kuwa (msomaji na atumie utambuzi), ndipo wale walio Yudea waanze kukimbilia milimani.+ Luka 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Hata hivyo, mtakapoona Yerusalemu limezingirwa na majeshi yaliyopiga kambi,+ jueni kwamba linakaribia kuharibiwa.+
14 “Hata hivyo, mtakapoona kile kitu chenye kuchukiza sana kinachosababisha ukiwa+ kikiwa kimesimama mahali ambapo hakipaswi kuwa (msomaji na atumie utambuzi), ndipo wale walio Yudea waanze kukimbilia milimani.+
20 “Hata hivyo, mtakapoona Yerusalemu limezingirwa na majeshi yaliyopiga kambi,+ jueni kwamba linakaribia kuharibiwa.+