Danieli 5:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme wa Wakaldayo aliuawa.+ 31 Na Dario+ Mmedi akaupokea ufalme; alikuwa na umri wa miaka 62 hivi. Danieli 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario+ mwana wa Ahasuero—mzao wa Wamedi aliyekuwa amewekwa kuwa mfalme wa ufalme wa Wakaldayo+—
30 Usiku huohuo Belshaza mfalme wa Wakaldayo aliuawa.+ 31 Na Dario+ Mmedi akaupokea ufalme; alikuwa na umri wa miaka 62 hivi.
9 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario+ mwana wa Ahasuero—mzao wa Wamedi aliyekuwa amewekwa kuwa mfalme wa ufalme wa Wakaldayo+—