Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 58:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 “Ita kwa sauti yote kutoka kooni; usijizuie!

      Paza sauti yako kama pembe.

      Watangazie watu wangu uasi wao,+

      Na nyumba ya Yakobo dhambi zao.

  • Yeremia 1:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha Yehova akaunyoosha mkono wake na kugusa kinywa changu.+ Na Yehova akaniambia: “Nimeyatia maneno yangu kinywani mwako.+ 10 Tazama, nimekutuma leo hii ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme, ili kung’oa na kubomoa, ili kuangamiza na kuangusha, ili kujenga na kupanda.”+

  • Ezekieli 3:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tazama! Nimeufanya uso wako uwe mgumu kama nyuso zao na paji la uso wako liwe gumu kama mapaji ya nyuso zao.+ 9 Nimelifanya paji la uso wako kuwa kama almasi, gumu kuliko jiwe gumu.+ Usiwaogope, wala usitishwe na nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba ya uasi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki