Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Amosi 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wale wanaoapa kwa hatia ya Samaria+ na kusema,

      “Kwa hakika kama mungu wako anavyoishi, Ee Dani!”+

      Na, “Kwa hakika kama inavyoishi njia ya Beer-sheba!”+

      Wataanguka, na hawatainuka tena.’”+

  • Mika 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Hayo yote kwa sababu ya uasi wa Yakobo,

      Kwa sababu ya dhambi za nyumba ya Israeli.+

      Uasi wa Yakobo ni nini?

      Je, si Samaria?+

      Na mahali pa juu pa Yuda ni nini?+

      Je, si Yerusalemu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki