Isaya 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema ili wanywe kileo,+Wanaokawia hadi giza linapoingia jioni mpaka divai inapowawasha! Isaya 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ole kwa taji* la kujionyesha* la walevi wa Efraimu+Na ua linalonyauka la uzuri wake wenye utukufu,Lililo kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba la wale waliolemewa na divai!
11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema ili wanywe kileo,+Wanaokawia hadi giza linapoingia jioni mpaka divai inapowawasha!
28 Ole kwa taji* la kujionyesha* la walevi wa Efraimu+Na ua linalonyauka la uzuri wake wenye utukufu,Lililo kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba la wale waliolemewa na divai!