1 Wafalme 12:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yeroboamu akasema moyoni mwake: “Sasa ufalme utarudi katika nyumba ya Daudi.+ 1 Wafalme 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Baada ya kushauriana, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Inachosha sana kwenu kupanda kwenda Yerusalemu. Ndiye huyu hapa Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewatoa nchini Misri.”+ Hosea 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sasa wanazidisha dhambi yaoNa kutengeneza sanamu za madini* kwa fedha yao;+Wanatengeneza sanamu kwa ustadi, hizo zote ni kazi za mafundi. Wanasema hivi mbele ya sanamu hizo: ‘Watu wanaotoa dhabihu na wabusu ndama hawa.’+
28 Baada ya kushauriana, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Inachosha sana kwenu kupanda kwenda Yerusalemu. Ndiye huyu hapa Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewatoa nchini Misri.”+
2 Sasa wanazidisha dhambi yaoNa kutengeneza sanamu za madini* kwa fedha yao;+Wanatengeneza sanamu kwa ustadi, hizo zote ni kazi za mafundi. Wanasema hivi mbele ya sanamu hizo: ‘Watu wanaotoa dhabihu na wabusu ndama hawa.’+