Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Pia mnapaswa kutoa robo ya kipimo cha hini ya divai ili iwe toleo la kinywaji; mtaitoa pamoja na dhabihu ya kuteketezwa+ au pamoja na dhabihu ya kila mwanakondoo dume.

  • Hesabu 28:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na matoleo ya kinywaji ya dhabihu hiyo yanapaswa kuwa nusu ya hini ya divai kwa ajili ya ng’ombe dume+ na sehemu ya tatu ya hini kwa ajili ya kondoo dume+ na robo ya hini kwa ajili ya mwanakondoo dume.+ Hiyo ndiyo dhabihu ya kuteketezwa inayopaswa kutolewa kila mwezi kwa mwaka mzima.

  • Yoeli 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Vaeni* nguo za magunia na kuomboleza,* enyi makuhani;

      Pigeni mayowe, enyi wahudumu wa madhabahu.+

      Ingieni na kulala hekaluni usiku kucha mkiwa mmevaa nguo za magunia, enyi wahudumu wa Mungu wangu;

      Kwa maana matoleo ya nafaka+ na matoleo ya vinywaji+ hayaletwi tena katika nyumba ya Mungu wenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki