Hosea 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Waisraeli watakaa kwa muda mrefu* bila mfalme,+ bila mkuu, bila dhabihu, bila nguzo, na bila efodi+ na sanamu za terafimu.*+ Hosea 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hasira nikawapa mfalme,+Nami nitamwondoa kwa ghadhabu.+
4 Kwa maana Waisraeli watakaa kwa muda mrefu* bila mfalme,+ bila mkuu, bila dhabihu, bila nguzo, na bila efodi+ na sanamu za terafimu.*+