17 Yehova Mungu wetu ndiye aliyetutoa sisi na mababu zetu katika nchi ya Misri,+ katika nyumba ya utumwa,+ na kufanya miujiza mikubwa mbele ya macho yetu+ na kutulinda katika safari yetu yote na miongoni mwa watu wote ambao tulipita katikati yao.+
8 “Baada tu ya Yakobo kuingia Misri+ na mababu zenu kuanza kumlilia Yehova awasaidie,+ Yehova alimtuma Musa+ na Haruni ili wawaongoze mababu zenu kutoka Misri na kuwawezesha kuishi mahali hapa.+