Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:12-14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yehova peke yake aliendelea kumwongoza;*+

      Hakuna mungu yeyote wa kigeni aliyekuwa pamoja naye.+

      13 Alimpitisha juu ya sehemu za juu za dunia,+

      Hivi kwamba akala mazao ya shambani.+

      Alimlisha asali kutoka katika jabali

      Na mafuta kutoka katika mwamba mgumu,

      14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi,

      Pamoja na kondoo bora,*

      Na kondoo dume wa Bashani, na mbuzi dume,

      Pamoja na ngano bora;*+

      Nawe ulikunywa divai kutoka katika damu* ya zabibu.

  • Nehemia 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wakateka majiji yenye ngome+ na ardhi yenye rutuba,*+ wakamiliki nyumba zilizojaa vitu vyema vya kila aina, visima ambavyo tayari vilikuwa vimechimbwa, mashamba ya mizabibu, mizeituni,+ na miti ya matunda kwa wingi. Hivyo wakala na kushiba na kunenepa, nao wakaufurahia wema wako mwingi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki