Zekaria 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ‘Kwa maana mbegu ya amani itapandwa; mzabibu utazaa matunda yake na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake; nami nitawapa watu waliobaki wa taifa hili vitu hivi vyote viwe urithi wao.+
12 ‘Kwa maana mbegu ya amani itapandwa; mzabibu utazaa matunda yake na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake; nami nitawapa watu waliobaki wa taifa hili vitu hivi vyote viwe urithi wao.+