Zekaria 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ‘Kwa maana kutakuwa na mbegu ya amani;+ mzabibu utazaa matunda yake,+ na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake;+ nami nitawafanya mabaki+ ya watu hawa warithi vitu hivyo vyote.+ Zekaria Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:12 w06 4/15 27; w96 1/1 19-20 Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:12 Mnara wa Mlinzi,4/15/2006, uku. 271/1/1996, kur. 19-20
12 ‘Kwa maana kutakuwa na mbegu ya amani;+ mzabibu utazaa matunda yake,+ na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake;+ nami nitawafanya mabaki+ ya watu hawa warithi vitu hivyo vyote.+