Hosea 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Watu wangu hutafuta ushauri kutoka kwa sanamu zao za miti,Wakifanya mambo wanayoambiwa na fimbo yao;*Kwa sababu roho ya ukahaba* huwapotosha,Na kwa ukahaba* wao wanakataa kujinyenyekeza kwa Mungu wao. Amosi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wanavikanyaga-kanyaga vichwa vya watu wa hali ya chini katika mavumbi ya dunia,+Nao wanaziba njia ya wapole.+ Mtu na baba yake wanalala na msichana yuleyule,Na hivyo kulichafua jina langu takatifu.
12 Watu wangu hutafuta ushauri kutoka kwa sanamu zao za miti,Wakifanya mambo wanayoambiwa na fimbo yao;*Kwa sababu roho ya ukahaba* huwapotosha,Na kwa ukahaba* wao wanakataa kujinyenyekeza kwa Mungu wao.
7 Wanavikanyaga-kanyaga vichwa vya watu wa hali ya chini katika mavumbi ya dunia,+Nao wanaziba njia ya wapole.+ Mtu na baba yake wanalala na msichana yuleyule,Na hivyo kulichafua jina langu takatifu.