Yeremia 30:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ole wangu! Kwa maana siku hiyo inatisha sana.*+ Hakuna nyingine kama hiyo,Wakati wa taabu kwa Yakobo. Lakini ataokolewa kutokana nayo.” Amosi 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ‘Ole wao wanaoitamani siku ya Yehova!+ Basi, siku ya Yehova itamaanisha nini kwenu?+ Itakuwa giza, wala si nuru.+ Sefania 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu,+Siku ya taabu na maumivu makali,+Siku ya dhoruba na ukiwa,Siku ya giza na utusitusi,+Siku ya mawingu na utusitusi mzito,+
7 Ole wangu! Kwa maana siku hiyo inatisha sana.*+ Hakuna nyingine kama hiyo,Wakati wa taabu kwa Yakobo. Lakini ataokolewa kutokana nayo.”
18 ‘Ole wao wanaoitamani siku ya Yehova!+ Basi, siku ya Yehova itamaanisha nini kwenu?+ Itakuwa giza, wala si nuru.+
15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu,+Siku ya taabu na maumivu makali,+Siku ya dhoruba na ukiwa,Siku ya giza na utusitusi,+Siku ya mawingu na utusitusi mzito,+