Isaya 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwezi mpevu utafedheheshwa,Na jua linalong’aa litaaibishwa,+Kwa maana Yehova wa majeshi amekuwa Mfalme+ katika Mlima Sayuni+ na YerusalemuAkiwa na utukufu mbele ya wazee wa watu wake.*+ Mika 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nitamfanya yule aliyekuwa akichechemea abaki,+Na yule aliyepelekwa mbali kuwa taifa lenye nguvu;+Na Yehova atawatawala akiwa mfalme katika Mlima Sayuni,Kuanzia sasa mpaka milele.
23 Mwezi mpevu utafedheheshwa,Na jua linalong’aa litaaibishwa,+Kwa maana Yehova wa majeshi amekuwa Mfalme+ katika Mlima Sayuni+ na YerusalemuAkiwa na utukufu mbele ya wazee wa watu wake.*+
7 Nitamfanya yule aliyekuwa akichechemea abaki,+Na yule aliyepelekwa mbali kuwa taifa lenye nguvu;+Na Yehova atawatawala akiwa mfalme katika Mlima Sayuni,Kuanzia sasa mpaka milele.