Amosi 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha akaniuliza, “Unaona nini, Amosi?” Nikajibu, “Kikapu chenye matunda ya wakati wa kiangazi.” Kisha Yehova akaniambia: “Mwisho wa watu wangu Waisraeli umefika. Sitawasamehe tena.+
2 Kisha akaniuliza, “Unaona nini, Amosi?” Nikajibu, “Kikapu chenye matunda ya wakati wa kiangazi.” Kisha Yehova akaniambia: “Mwisho wa watu wangu Waisraeli umefika. Sitawasamehe tena.+