Mambo ya Walawi 19:35, 36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “‘Msitumie vipimo vya uwongo kupima urefu, uzito, au ujazo.+ 36 Mnapaswa kutumia mizani sahihi, vipimo sahihi, kipimo sahihi cha vitu vikavu,* na kipimo sahihi cha vitu vya majimaji.*+ Mimi ni Yehova Mungu wenu niliyewatoa katika nchi ya Misri. Hosea 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mfanyabiashara ana mizani ya udanganyifu mkononi mwake;Anapenda kuwapunja watu.+ Mika 6:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, bado kuna hazina za uovu katika nyumba ya mwovuNa kipimo kilichopunguka cha efa* kinachochukiza? 11 Je, ninaweza kuwa safi kimaadili* nikiwa na mizani ya uovu,Nikiwa na mfuko wenye mawe ya kupimia ya udanganyifu?+
35 “‘Msitumie vipimo vya uwongo kupima urefu, uzito, au ujazo.+ 36 Mnapaswa kutumia mizani sahihi, vipimo sahihi, kipimo sahihi cha vitu vikavu,* na kipimo sahihi cha vitu vya majimaji.*+ Mimi ni Yehova Mungu wenu niliyewatoa katika nchi ya Misri.
10 Je, bado kuna hazina za uovu katika nyumba ya mwovuNa kipimo kilichopunguka cha efa* kinachochukiza? 11 Je, ninaweza kuwa safi kimaadili* nikiwa na mizani ya uovu,Nikiwa na mfuko wenye mawe ya kupimia ya udanganyifu?+