Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:35, 36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “‘Msitumie vipimo vya uwongo kupima urefu, uzito, au ujazo.+ 36 Mnapaswa kutumia mizani sahihi, vipimo sahihi, kipimo sahihi cha vitu vikavu,* na kipimo sahihi cha vitu vya majimaji.*+ Mimi ni Yehova Mungu wenu niliyewatoa katika nchi ya Misri.

  • Hosea 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Lakini mfanyabiashara ana mizani ya udanganyifu mkononi mwake;

      Anapenda kuwapunja watu.+

  • Mika 6:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Je, bado kuna hazina za uovu katika nyumba ya mwovu

      Na kipimo kilichopunguka cha efa* kinachochukiza?

      11 Je, ninaweza kuwa safi kimaadili* nikiwa na mizani ya uovu,

      Nikiwa na mfuko wenye mawe ya kupimia ya udanganyifu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki