Isaya 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na sasa Yehova anasema: “Katika muda wa miaka mitatu, kama miaka ya kibarua,* utukufu wa Moabu utafedheheshwa kwa vurugu nyingi za kila aina, na wale watakaobaki watakuwa wachache sana na wanyonge.”+ Yeremia 48:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa sababu unatumaini kazi zako na hazina zako,Wewe pia utatekwa. Na Kemoshi+ atapelekwa uhamishoni,Pamoja na makuhani wake na wakuu wake.
14 Na sasa Yehova anasema: “Katika muda wa miaka mitatu, kama miaka ya kibarua,* utukufu wa Moabu utafedheheshwa kwa vurugu nyingi za kila aina, na wale watakaobaki watakuwa wachache sana na wanyonge.”+
7 Kwa sababu unatumaini kazi zako na hazina zako,Wewe pia utatekwa. Na Kemoshi+ atapelekwa uhamishoni,Pamoja na makuhani wake na wakuu wake.