Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana mkono wa Yehova utatulia juu ya mlima huu,+

      Na Moabu itakanyagwa-kanyagwa mahali pake+

      Kama nyasi zinavyokanyagwa-kanyagwa na kuwa rundo la mbolea.

  • Yeremia 48:46, 47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 ‘Ole wako, ewe Moabu!

      Watu wa Kemoshi+ wameangamia.

      Kwa maana wana wako wamechukuliwa mateka,

      Na mabinti zako wamepelekwa uhamishoni.+

      47 Lakini siku za mwisho nitawakusanya watu wa Moabu waliotekwa,’ asema Yehova.

      ‘Hukumu ya Moabu imefikia hapa.’”+

  • Sefania 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa hiyo, kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli,

      “Moabu itakuwa tu kama Sodoma,+

      Na Waamoni kama Gomora,+

      Mahali penye upupu, shimo la chumvi, na nchi iliyoachwa ukiwa milele.+

      Watu wangu waliobaki watawapora,

      Na watu waliobaki wa taifa langu watamiliki nchi yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki