Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Amosi 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa sababu mnamdai maskini kodi ya* shamba

      Nanyi mnachukua nafaka yake kama ushuru,+

      Hamtaendelea kuishi katika nyumba mlizojenga kwa mawe yaliyochongwa+

      Wala hamtakunywa divai kutoka katika mashamba bora ya mizabibu mliyopanda.+

  • Amosi 8:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Sikieni hili, ninyi mnaowakandamiza maskini

      Na kuwaangamiza wapole nchini,+

       5 Mnaosema, ‘Sherehe ya mwezi mpya itakwisha lini,+ ili tuuze nafaka yetu,

      Na Sabato+ itakwisha lini, tukauze nafaka?

      Ili tupunguze kipimo cha efa*

      Na kuongeza uzito wa shekeli,*

      Kuipotosha mizani yetu ya udanganyifu;+

       6 Ili tuwanunue wenye uhitaji kwa fedha

      Na maskini kwa jozi ya viatu,+

      Na kuuza makapi ya nafaka.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki