-
Amosi 2:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Yehova anasema hivi:
‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Israeli,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,
Kwa sababu wanamuuza mwadilifu ili wapate fedha,
Na maskini kwa jozi ya viatu.+
7 Wanavikanyaga-kanyaga vichwa vya watu wa hali ya chini katika mavumbi ya dunia,+
Nao wanaziba njia ya wapole.+
Mtu na baba yake wanalala na msichana yuleyule,
Na hivyo kulichafua jina langu takatifu.
-