Zaburi 36:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uadilifu wako ni kama milima mikubwa;*+Hukumu zako ni kama maji mengi yenye kina.+ Unawahifadhi* wanadamu na wanyama, Ee Yehova.+ Zaburi 145:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova ni mwema kwa wote,+Na rehema zake zinaonekana katika kazi zake zote.
6 Uadilifu wako ni kama milima mikubwa;*+Hukumu zako ni kama maji mengi yenye kina.+ Unawahifadhi* wanadamu na wanyama, Ee Yehova.+