Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mtakusanyika asubuhi, kabila kwa kabila, na kabila ambalo Yehova atachagua+ litakaribia, ukoo kwa ukoo, na ukoo ambao Yehova atachagua utakaribia, nyumba kwa nyumba, na nyumba ambayo Yehova atachagua itakaribia, mwanamume kwa mwanamume.

  • Yoshua 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mwishowe akaleta karibu familia ya Zabdi, mwanamume kwa mwanamume, naye Akani mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, akachaguliwa.+

  • 1 Samweli 14:42, 43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Basi Sauli akasema: “Pigeni kura+ kuamua kati yangu na mwanangu Yonathani.” Kisha Yonathani akachaguliwa. 43 Halafu Sauli akamuuliza Yonathani: “Niambie, umefanya nini?” Yonathani akamwambia: “Nilionja tu asali kidogo kwa ncha ya fimbo iliyo mikononi mwangu.+ Nipo hapa! Niko tayari kufa!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki