Methali 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kura hupigwa mapajani,+Lakini kila uamuzi unaofanywa kwa kura hiyo hutoka kwa Yehova.+ Matendo 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Petro akamuuliza: “Anania, kwa nini Shetani amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ ukajiwekea kisiri kiasi fulani cha bei ya shamba?
3 Lakini Petro akamuuliza: “Anania, kwa nini Shetani amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ ukajiwekea kisiri kiasi fulani cha bei ya shamba?