Hesabu 26:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Hata hivyo, nchi inapaswa kugawanywa kwa kura.+ Watu wanapaswa kupokea urithi wao kulingana na majina ya makabila ya baba zao. Methali 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kupiga kura hukomesha mizozo+Na kukata maneno kati ya* wapinzani wenye nguvu.
55 Hata hivyo, nchi inapaswa kugawanywa kwa kura.+ Watu wanapaswa kupokea urithi wao kulingana na majina ya makabila ya baba zao.