13 Kwa hiyo Musa akawapa Waisraeli maagizo haya: “Hiyo ndiyo nchi mtakayoigawanya kwa kura na kuimiliki,+ kama Yehova alivyoamuru kwamba makabila tisa na nusu yapewe nchi hiyo.
4 Basi wakaja kwa kuhani Eleazari,+ Yoshua mwana wa Nuni, na wakuu na kuwaambia: “Yehova ndiye aliyemwamuru Musa atupe urithi miongoni mwa ndugu zetu.”+ Basi akawapa urithi kati ya ndugu za baba yao kwa agizo la Yehova.+