Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 14:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi huu ndio urithi ambao kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo* za makabila ya Israeli waliwapa Waisraeli katika nchi ya Kanaani.+ 2 Waligawiwa urithi wao kwa kura,+ kama Yehova alivyomwagiza Musa ayagawie yale makabila tisa na nusu.+

  • Nehemia 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa wakuu wa watu walikuwa wakiishi Yerusalemu;+ lakini watu wengine wote walipiga kura+ ili mtu mmoja kati ya watu kumi aishi Yerusalemu, lile jiji takatifu, na wale wengine tisa waliishi katika majiji mengine.

  • Methali 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kura hupigwa mapajani,+

      Lakini kila uamuzi unaofanywa kwa kura hiyo hutoka kwa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki