Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nchi yao imejaa miungu ya ubatili.+

      Wao huinamia kazi ya mikono yao wenyewe,

      Kile ambacho vidole vyao vimetengeneza.

  • Ezekieli 36:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawatakasa kutokana na uchafu wenu+ wote na kutokana na sanamu zenu zote zinazochukiza.+

  • Hosea 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ashuru haitatuokoa.+

      Hatutapanda farasi,+

      Na hatutaziambia tena kazi za mikono yetu, “Ee Mungu wetu!”

      Kwa sababu ni wewe unayemwonyesha yatima rehema.’+

  • Zekaria 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “nitafuta majina ya sanamu kutoka nchini,+ nayo hayatakumbukwa tena; nami nitawaondoa kabisa manabii+ na pia roho ya uchafu kutoka nchini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki