Isaya 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nchi yao imejaa miungu ya ubatili.+ Wao huinamia kazi ya mikono yao wenyewe,Kile ambacho vidole vyao vimetengeneza. Ezekieli 36:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawatakasa kutokana na uchafu wenu+ wote na kutokana na sanamu zenu zote zinazochukiza.+ Hosea 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ashuru haitatuokoa.+ Hatutapanda farasi,+Na hatutaziambia tena kazi za mikono yetu, “Ee Mungu wetu!” Kwa sababu ni wewe unayemwonyesha yatima rehema.’+ Zekaria 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “nitafuta majina ya sanamu kutoka nchini,+ nayo hayatakumbukwa tena; nami nitawaondoa kabisa manabii+ na pia roho ya uchafu kutoka nchini.
8 Nchi yao imejaa miungu ya ubatili.+ Wao huinamia kazi ya mikono yao wenyewe,Kile ambacho vidole vyao vimetengeneza.
25 Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawatakasa kutokana na uchafu wenu+ wote na kutokana na sanamu zenu zote zinazochukiza.+
3 Ashuru haitatuokoa.+ Hatutapanda farasi,+Na hatutaziambia tena kazi za mikono yetu, “Ee Mungu wetu!” Kwa sababu ni wewe unayemwonyesha yatima rehema.’+
2 “Siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “nitafuta majina ya sanamu kutoka nchini,+ nayo hayatakumbukwa tena; nami nitawaondoa kabisa manabii+ na pia roho ya uchafu kutoka nchini.