48 Mwishowe wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi katika jangwa tambarare la Moabu karibu na Yordani huko Yeriko.+ 49 Wakaendelea kupiga kambi kandokando ya Mto Yordani kuanzia Beth-yeshimothi mpaka Abel-shitimu,+ katika jangwa tambarare la Moabu.