-
Isaya 6:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Ndipo nikauliza: “Ni mpaka lini, Ee Yehova?” Kisha akasema:
“Mpaka majiji yabomoke yawe magofu bila mkaaji
Na nyumba zisiwe na watu
Na nchi iharibiwe na kubaki ukiwa;+
-
Yeremia 25:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 ninaziita familia zote za kaskazini,”+ asema Yehova, “ninamwita Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, mtumishi wangu,+ nami nitawaleta dhidi ya nchi hii+ na dhidi ya wakaaji wake na dhidi ya mataifa haya yote yanayozunguka.+ Nitawaangamiza na kuwafanya kuwa kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi na magofu ya kudumu.
-
-
-