Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikauliza: “Ni mpaka lini, Ee Yehova?” Kisha akasema:

      “Mpaka majiji yabomoke yawe magofu bila mkaaji

      Na nyumba zisiwe na watu

      Na nchi iharibiwe na kubaki ukiwa;+

  • Yeremia 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 ninaziita familia zote za kaskazini,”+ asema Yehova, “ninamwita Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, mtumishi wangu,+ nami nitawaleta dhidi ya nchi hii+ na dhidi ya wakaaji wake na dhidi ya mataifa haya yote yanayozunguka.+ Nitawaangamiza na kuwafanya kuwa kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi na magofu ya kudumu.

  • Sefania 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Nitafagilia mbali kabisa kila kitu kutoka katika nchi,” asema Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki