Zaburi 137:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yakoKwa maovu uliyotutendea.+ Yeremia 50:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kuna sauti ya wale wanaokimbia,Wale wanaoponyoka kutoka nchi ya Babiloni,Ili kutangaza katika Sayuni kisasi cha Yehova Mungu wetu,Kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+ Yeremia 51:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa UkaldayoKwa sababu ya uovu wote ambao wametenda huko Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.
8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yakoKwa maovu uliyotutendea.+
28 Kuna sauti ya wale wanaokimbia,Wale wanaoponyoka kutoka nchi ya Babiloni,Ili kutangaza katika Sayuni kisasi cha Yehova Mungu wetu,Kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+
24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa UkaldayoKwa sababu ya uovu wote ambao wametenda huko Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.