Yeremia 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo manyunyu ya mvua yamezuiwa,+Na hakuna mvua ya masika. Una uso wenye* ushupavu kama mwanamke anayefanya ukahaba;Umekataa kuona aibu.+ Yeremia 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, wanaona aibu kwa sababu ya mambo yenye kuchukiza waliyotenda? Hawaoni aibu hata kidogo! Hata hawajui jinsi ya kufedheheka!+ Basi wataanguka kati ya wale walioanguka. Nitakapowaletea adhabu watajikwaa,”+ asema Yehova. Sefania 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kusanyikeni pamoja, naam, jikusanyeni,+Ewe taifa lisiloona aibu.+
3 Kwa hiyo manyunyu ya mvua yamezuiwa,+Na hakuna mvua ya masika. Una uso wenye* ushupavu kama mwanamke anayefanya ukahaba;Umekataa kuona aibu.+
12 Je, wanaona aibu kwa sababu ya mambo yenye kuchukiza waliyotenda? Hawaoni aibu hata kidogo! Hata hawajui jinsi ya kufedheheka!+ Basi wataanguka kati ya wale walioanguka. Nitakapowaletea adhabu watajikwaa,”+ asema Yehova.