Amosi 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ‘Nitawapanda katika nchi yao,Nao hawatang’olewa tena kamweKutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ asema Yehova Mungu wenu.” Zekaria 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na watu watakaa jijini humo; hakutakuwa tena na laana ya uharibifu,+ na watu watakaa Yerusalemu kwa usalama.+
15 ‘Nitawapanda katika nchi yao,Nao hawatang’olewa tena kamweKutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ asema Yehova Mungu wenu.”
11 Na watu watakaa jijini humo; hakutakuwa tena na laana ya uharibifu,+ na watu watakaa Yerusalemu kwa usalama.+