Isaya 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’ Zekaria 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na kama mlivyokuwa kitu cha kulaaniwa miongoni mwa mataifa,+ Ee nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli, vivyo hivyo nitawaokoa, nanyi mtakuwa baraka.+ Msiogope!+ Mikono yenu na iwe na nguvu.’*+
10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’
13 Na kama mlivyokuwa kitu cha kulaaniwa miongoni mwa mataifa,+ Ee nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli, vivyo hivyo nitawaokoa, nanyi mtakuwa baraka.+ Msiogope!+ Mikono yenu na iwe na nguvu.’*+