Zekaria 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na itakuwa kwamba kama vile mlivyokuwa laana katikati ya mataifa,+ enyi nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli,+ ndivyo nitakavyowaokoa, nanyi mtakuwa baraka.+ Msiogope.+ Mikono yenu na iwe na nguvu.’+ Zekaria Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:13 w96 1/1 19 Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:13 Mnara wa Mlinzi,1/1/1996, uku. 19
13 Na itakuwa kwamba kama vile mlivyokuwa laana katikati ya mataifa,+ enyi nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli,+ ndivyo nitakavyowaokoa, nanyi mtakuwa baraka.+ Msiogope.+ Mikono yenu na iwe na nguvu.’+