Yoeli 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yehova atakuwa na bidii kwa ajili ya nchi yakeNa kuwahurumia watu wake.+ Zekaria 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Nitakuwa na bidii kwa ajili ya Sayuni, bidii nyingi,+ na kwa hasira kali nitakuwa na bidii kwa ajili yake.’”
2 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Nitakuwa na bidii kwa ajili ya Sayuni, bidii nyingi,+ na kwa hasira kali nitakuwa na bidii kwa ajili yake.’”