Kumbukumbu la Torati 32:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+Naye atawahurumia* watumishi wake+Atakapoona nguvu zao zimeisha,Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao. Isaya 60:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wageni watazijenga kuta zako,Na wafalme wao watakuhudumia,+Kwa maana nilikupiga kwa hasira yangu,Lakini kwa kibali changu* nitakuonyesha rehema.+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hatujaangamia kwa sababu ya upendo mshikamanifu wa Yehova,+Kwa maana rehema zake hazikomi kamwe.+ Hosea 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Enyi Waefraimu, kwa nini niwaache?+ Enyi Waisraeli, kwa nini niwatie mikononi mwa maadui wenu? Kwa nini niwatendee kama Adma? Kwa nini niwafanye kama Seboiimu?+ Moyo wangu umebadilika;Na pia nimechochewa kuwahurumia.+
36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+Naye atawahurumia* watumishi wake+Atakapoona nguvu zao zimeisha,Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao.
10 Wageni watazijenga kuta zako,Na wafalme wao watakuhudumia,+Kwa maana nilikupiga kwa hasira yangu,Lakini kwa kibali changu* nitakuonyesha rehema.+
8 Enyi Waefraimu, kwa nini niwaache?+ Enyi Waisraeli, kwa nini niwatie mikononi mwa maadui wenu? Kwa nini niwatendee kama Adma? Kwa nini niwafanye kama Seboiimu?+ Moyo wangu umebadilika;Na pia nimechochewa kuwahurumia.+