Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake,+

      Naye atawahurumia* watumishi wake+

      Atakapoona nguvu zao zimeisha,

      Na kwamba waliobaki ni wasio na uwezo na walio dhaifu peke yao.

  • Isaya 60:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wageni watazijenga kuta zako,

      Na wafalme wao watakuhudumia,+

      Kwa maana nilikupiga kwa hasira yangu,

      Lakini kwa kibali changu* nitakuonyesha rehema.+

  • Maombolezo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hatujaangamia kwa sababu ya upendo mshikamanifu wa Yehova,+

      Kwa maana rehema zake hazikomi kamwe.+

  • Hosea 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Enyi Waefraimu, kwa nini niwaache?+

      Enyi Waisraeli, kwa nini niwatie mikononi mwa maadui wenu?

      Kwa nini niwatendee kama Adma?

      Kwa nini niwafanye kama Seboiimu?+

      Moyo wangu umebadilika;

      Na pia nimechochewa kuwahurumia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki