Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wenu atakapowarudisha mateka wenu+ na kuwaonyesha ninyi rehema+ na kuwakusanya tena kutoka katika mataifa yote ambako Yehova Mungu wenu aliwatawanya.+

  • Zaburi 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa sababu hasira yake ni ya muda mfupi tu,+

      Lakini kibali chake* hudumu maisha yote.+

      Huenda kukawa na kilio jioni, lakini asubuhi, kuna kilio cha shangwe.+

  • Isaya 54:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 “Kwa maana nilikuacha kwa muda mfupi,

      Lakini nitakukusanya tena kwa rehema nyingi.+

  • Isaya 57:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nilikasirika kwa sababu alitenda dhambi kwa kufuatilia faida isiyo ya haki,+

      Basi nikampiga, nikauficha uso wangu, nami nikashikwa na hasira.

      Lakini aliendelea kuwa mwasi+ akifuata njia ya moyo wake.

      18 Nimeziona njia zake,

      Lakini nitamponya+ na kumwongoza+

      Na kumrudishia* faraja yeye+ na watu wake wanaoomboleza.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki