Yeremia 4:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa sababu hiyo nchi itaomboleza,+Na juu mbingu zitakuwa na giza.+ Ni kwa sababu nimesema, nami nimeamua,Nami sitabadili nia yangu,* wala sitaliacha jambo hilo.+ Ezekieli 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema. Itatendeka. Nitatenda bila kujizuia, bila huruma, bila kughairi.+ Watakuhukumu kulingana na njia zako na matendo yako,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
28 Kwa sababu hiyo nchi itaomboleza,+Na juu mbingu zitakuwa na giza.+ Ni kwa sababu nimesema, nami nimeamua,Nami sitabadili nia yangu,* wala sitaliacha jambo hilo.+
14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema. Itatendeka. Nitatenda bila kujizuia, bila huruma, bila kughairi.+ Watakuhukumu kulingana na njia zako na matendo yako,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”