-
Ezekieli 34:16, 17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 “Aliyepotea nitamtafuta,+ anayetangatanga nitamrudisha, aliyejeruhiwa nitamfunga, na aliye dhaifu nitamtia nguvu; lakini aliyenona na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”
17 “‘Kuwahusu ninyi kondoo wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Niko karibu kuhukumu kati ya kondoo mmoja na kondoo mwingine, kati ya kondoo dume na mbuzi dume.+
-