Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na tangu siku hiyo Waisraeli wamekuwa wakiiasi+ nyumba ya Daudi.

      20 Mara tu Waisraeli wote waliposikia kwamba Yeroboamu amerudi, wakamwita mbele ya kusanyiko, nao wakamweka kuwa mfalme wa Waisraeli wote.+ Hakuna yeyote aliyeifuata nyumba ya Daudi isipokuwa kabila la Yuda.+

  • Ezekieli 37:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nawe, mwana wa binadamu, chukua kijiti nawe uandike juu yake, ‘Kwa ajili ya Yuda na kwa ajili ya watu wa Israeli walio pamoja naye.’*+ Kisha uchukue kijiti kingine na kuandika juu yake, ‘Kwa ajili ya Yosefu, kijiti cha Efraimu, na watu wote wa nyumba ya Israeli walio pamoja naye.’*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki