Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Yehova anasema, ‘Nitaleta msiba mahali hapa na kwa wakaaji wake, maneno yote ya kitabu ambacho mfalme wa Yuda amesoma.+ 17 Kwa sababu wameniacha na wanaifukizia miungu mingine+ moshi wa dhabihu ili kunikasirisha kwa kazi zote za mikono yao,+ ghadhabu yangu itawaka dhidi ya mahali hapa nayo haitazimwa.’”+

  • Yeremia 44:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao na kuacha uovu wao na kuacha kuitolea dhabihu miungu mingine.+ 6 Basi ghadhabu yangu na hasira yangu ilimwagwa na kuwaka katika majiji ya Yuda na kwenye barabara za Yerusalemu, na majiji hayo yakawa magofu na ukiwa, kama ilivyo leo.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki